Duration 4:3

DC GONDWE ALIVYOKABIDHI OFISI, DC JOKATE AFUNGUKA MIMI SIO MGENI SANA TEMEKE, NILIKUA MISS”

34 645 watched
0
145
Published 22 Jun 2021

Baada ya Rais Samia Suluhu kuteua na kufanya mabadiliko kwa Ma-DC aliyekuwa Mkuu wa wilaya ya Temeke Godwin Gondwe ambaye kwa sasa amehamia Wilaya Kinondoni amekabidhi ofisi kwa Jokate mwegelo aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe kwa sasa ni mkuu wa wilaya ya Temeke.

Category

Show more

Comments - 27