FAHYMA - "RAYVANNY Hata ALIE, AGALEGALE / SITAKI / SIJASIKILIZA Nyimbo ZAKE"
Mwanamitindo maarufu Bongo, Fayma, leo Februari 14, ameamua kusheherekea sikukuu ya wapendanao kwa kutoa misaada kwa watoto yatima na kutoa mitaji ya biashara kwa wakinamama.
Fayma ambaye ni mzazi mwenza wa mwanamuziki wa Bongo Fleva, Rayvanny, ametoa misaada kwa watoto hao na kula nao chakula cha mchana katika kituo cha Dorcus kilichopo Kunduchi jijini Dar , ambapo ametaja Kilichomsukuma kutoa misaada hiyo Hasa katika siku ya leo ya Valentine…
UNA HABARI? WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE
(+255 784 888982)
(+255676229628)
HABARI MPYA DAILY:
http://bit.ly/habarimpya
HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA:
http://bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
GLOBAL RADIO TV:
http://bit.ly/255globalradio
EXCLUSIVE INTERVIEW:
http://bit.ly/exclusive_interviews
Subscribe Global TV, Channel itakayokupa Habari na matukio ya kipekee nchini Tanzania
Subscribe http://bit.ly/globaltvonline