@bonifacemashauri90325 years agoAm proud of Magufuli for this wonderful motivation in military forces. (blood of sarvation) 2
@
@ndarojuma51287 years agoJaman naipenda hii kazi tafadhali mungu nisaidie maana ndio naanza process. 4
@
@hondenisonmagufulinyabaro39237 years agoMaajabu hayo! Hongera kwa hao, from kiabusura bomakombi o' nyabaro mogeni na sipora kerubo tuko pamoja, suneka bonchari kisii county.
@
@peterezavoliahona78517 years agoThis beautiful haven' t seen it before. Noce. 4
@
@salehelucy35278 years agoAisee hao kiboko maana sio kwahali hiyo kwakweli wapo vizuri sana so nice. 4
@
@peterezavoliahona78517 years agoPlz come to kenya we need u plz talk to our prezo. 6
@
@cymoowanjeri68434 years agoThe dressing is smart. Slow and quick match perfect.
@
@josephgomalo418 years agoAiseee. Nimeshika adabu nitarudi jkt tena. Nimekoma kujongo. This is just great. Thanks jwtz. Thanks watoto wa nyumbani.
@
@ramadhaniyange63238 years agoDuu hongera wapiganaji wetu wa jwtz salute kwao. 2
@
@danielsalimba72814 years agoHuwaga sichoki kuangalia mpaka leo 2020 naangaliaga2.
@
@officialfredrickjacobtz21117 years agoKiwi au a. K. A ballotel, mungu anakuona maana huzionei huruma mbavu zangu. Kweli unanogesha mambo, nice sana! Kata upepo. 3
@
@jamesmutisya70797 years agoWalai hapa nimekubali, heko kwenu maofisa wa tz. 1
@
@ramadhaniyange63238 years agoJamani mimi nilikuwa major wa jeshi kwa hili haijawahi kutokea wameiva, wapo makini, wanaipenda kazi yao na wanawajibika wanatumia akili hongereni. 22
@
@FELIXMBWANJI8 years agoHuyu jamaa ni moto aise yaani mara kwa mara namcheki yaani ni hatari sana. Big up sana kwa jwtz.
@
@peterremy80135 years agoKweli hongereni jeshi letu naamini nalindwa.
@
@naftalimhemi12083 years agoKama vile tulipokuwa tabora boys military school 1971.
@
@pascalmakomba64956 years agoProfesa paramaganda kabudi alifunda bunge.
@
@andrewkibesjunior59364 years agoAm from kenya lakini haya ya kiwi sijayaona.
@
@tumwagilegedion6948 years agoHaha kiwi umenipa raha jeshi mko vzr. 4
@
@jeanmubemba12045 years agoHahahahah, watanzania wana vipaji sana aisee, good work guyz.
@
@ibrahimaboker90866 years agoKila zama na kitabu chake tulipokuwa tpdf 1973 mpaka tunastaafu tulikuwa wakakamavu ndio maana ya kuwa askari. Mt7 daima. 3
@
@felixokondo63726 years agoPull up still not accurate marekebisho kidogo two lakini hata ivo hongera. 2
@
@mgangakidibwa69724 years agoVp vt by nfc bbs nfcve bunch vdd r vdd bb.
@
@MilioneaTv5 years agoTangaza blog, App, youtube biashara au huduma kwa sh elfu 10 tu mwaka mzima kwenye mtandao wenye watu zaidi ya laki 3 ambao ni Mtandao pekee unaowalipa watu kwa kupost mada mbali mbali. Pia unapata blog kwa sh elfu 19 tu, App sh elfu 25 Youtube chanel sh elfu 10 blog inawekwa matangazo ya kukulipa maishani mwako. Kupata huduma hizo wasiliana whatsapp 0652428852 Karibu sana Pia wanahitajika watu wa kurekodi video kwa simu zao wasiliana whatsapp 0652428852 kwa maelezo zaidi .....Expand
@
@johnabelly86136 years agoSawapihawajaiva kuivakwenu mapaka tuonejeuli jeulikama yakorea.
@
@asilclub5 years agoMnasadiki mna uhuru? Bado mmetawaliwa na wazungu mnaishi ujinga tu.
@
@abuumaisarah659511 months agoKiwi ni mtu aisee ananikosha unaa una.
@
@armanou90426 years agoNjooni kenya muone silent drill hufanywa.
Related videos for Kwata la kimyakimya la Wanajeshi wa Tanzania Uhuru Day 2016:
(blood of sarvation) 2
jeshi mko vzr. 4
tulipokuwa tpdf 1973 mpaka tunastaafu tulikuwa wakakamavu ndio maana ya kuwa askari. Mt7 daima. 3
Pia wanahitajika watu wa kurekodi video kwa simu zao wasiliana whatsapp 0652428852 kwa maelezo zaidi .. ...Expand