@computerjoshua964 years agoUstaa ni mzigo wa mwiba, walo ubeba wanaumia# THEREAL FIDQ 14
@
@mukaplatnumz23134 years agoSarah pole sana ungejuwa mapema wala usinge tembea nahuyo mmakonde maana si mtu mzuri, na anaga shukrani🤔🤔🤔🇺🇸. 15
@
@vanessalaizer43634 years agoSnS mtafuteni Sarah afunguke hapa! Atakuwa amefuga mengi sana kwa kifua. Mpeni nafasi upepo utoke kwa kifua na sie tutafune bisi 🍿 zetu kabla hazijaexpire😁 12
@
@kenyangal18694 years agoGals we always get brains after kuchezwa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 8
@
@Waytozanzibar4 years agoHawa mbwa watuache, nazile picha za harusi kule chini ya IG yake zinamaanisha Nini. Km ameamuwa kumfuta mtu ktk moyo wake izo picha za harusi Zina maana gani. Kiukweli hivi vijibwa vidogo vibawapa shida Sana nyingi watu wa media 👿👿 ...3
@
@kassimrajabu78054 years agoKwani ata Harmonize kuondoka wcb ilianza hv😂😂😂😂😂 na waachane tu ss haituhusuu 6
@
@driftdumper89274 years agoMtu ambae pengine haumii ni mond yeye alichukua 500m yake baada ya Hamo kuzingua! Kazi kwako Sara! Hamonise akiishafaidika anakua hana adabu! 5
@
@xoxoq094 years agoMy girl always do the same thing every time when we fight but we still together ❤️ and I love her the most 1
@
@videlialabeka48994 years agoAMA harmonize hazalishi😅😅😅😅ona sarah vile amekawia pia😅
@
@mabyserolouchcraig24314 years agoNa ndomana mm hupenda kubaki na jina langu tu kila mahali...haya mambo yakutumia majina ya mume hayo huwa yakijinga..
@
@almasially65094 years agoleo ndo amekumbuka yeye ni ITALIAN GIRL. 2
@
@Mbeyaconscious4 years ago🤣🤣🤣🤣 Ndoa Ngumu Jamani Msione Wengine Hawaoani Sababu Mengi Yapo Ndani Yake. 4
@
@user-xi1pi4zr3b4 years agoHawa mastaa wanacheza na akili zetu Sara ajaachana na Harmo Naimani watarudiana hii michezo atujaijua leo wanatengeneza kiki awa wanapendana 7
@
@janatahmad70484 years agohuo sarah worper si alimwambia huo konde atakufanyia kitu hutosahau huo si nyoka mbaya sana hajali nini umefanya😂😂😂rakini ni maripo sarah umejibiwa 😁😁😁eti mmakonde kagoma kutoa taraka kwa sarah😂😂😂😩anaogopa mali kupokonywa maana huo hana lolote ...1
@
@zehrahaji15664 years agoMasikini Sara kamtajirisha huyo Hamonaiz Sasa ksmgeuka 3
@
@Bayothomusic4 years agoIsikie hii👇
@
@mrggatoto62214 years agoHahah koma na ushindwe yule ndie jeshiiii 2
@
@shamsalulanje41514 years agosasa ww sarah uvunje ndoa yako kwasababu yamtoto kwanini musiongee yakaisha tu we haya tu 4
@
@highthemetv78574 years ago 👆👆👆👆👆👆👆 Kama ni muoga usifungue hii video😨 Tazama jinsi Kafara inavyotolewa hadharani watu wanachinjwa mbele ya camera 😭😭inatisha ...
@
@hanifaally46944 years agoSarah pole jmn ulipewa Majibu feki ya DNA ulidanganywa masikin 1
@
@shanatatrigger65374 years agoZote hizi ni kiki tu hamtaamini na mjiulize Mzungu huyu anakaa wapi...? Mtapata majibu aisee Huyu anatak apite kika njia ya Diamond hapo ndipo anapofel
@
@justinjoshua10594 years agoUyonae puwa 1 anajipa presha zabure,ukipenda kuku penda na yayiyake.alitaka abaki bilakumuonesha mtoto wake?atulie 4
@
@hamisiphd78884 years agoHata hivo Konde alikuwa ni Kibenten Sara akaolewe na Wazee wenzake huko kwao 2
@
@shaadenshaduni77554 years ago🤣🤣🤣aende utaliano akamrogeshe sinaskia wako vizuri kwa uchai 1
@sherin31714 years agoHahaha na bado huyu... naukiza tu talaka kapewa ama bado😂😂😂 1
@
@muduboy7264 years agoCelebs wa TZ ni washamba kubadilisha women's to look good
@
@achawanunetv11674 years agoSarah katumwa na WCB Sasa kwataafifa yake huto weza kumshusha KONDEBOY JESHI wakina DuduBaya na Baba Levo walishindwa 4
@
@bintiiddy70434 years ago😁😁😁wazngu kwa wazngu wanachitiana itakuwa mwanaume wakiarica askuchiti we nani 🤣🤣😂😂karbu africa ambapo ndoa ni kaburi lamapenzi😁😁🤣😂
@
@sambesk27194 years agoSns na nyie msituchanganye naviabari vyenu vya kiki zakijinga pumbafu
@
@zou74704 years agoJamani sara alikuwa nayake kwasababu mtoto siyo kigezo cakufanya avunje ndoa yake ule ni malaika wamungu
@
@rayanndizeyes31614 years agouyo sara atarudi tu kilisho tuma anamupeda paka doa kitamurudisha tu ,sara wivu unamutesa atarudi tu
@
@qulthumameir74804 years agoKadiri utakavyofanya ndivyo utakavyolipwa, si ulijiona bingwa kuingilia kati mahusiano ya mwenzio sasa kula moto shenz 2
@
@aishabrondo60374 years agoSarah amempenda harmonize akasahau yalio mtokea zari kwani hakunaga majibu feki kama alitowa pesa hospital ili amcanganye Sarah wanaume wa tz ninoma kabisa
Related videos for SARAH azidi kumfuta HARMONIZE kwenye maisha yake, Afanya hili jingine kwa KONDE BOY:
👆👆👆👆👆👆👆
Kama ni muoga usifungue hii video😨 Tazama jinsi Kafara inavyotolewa hadharani watu wanachinjwa mbele ya camera 😭😭inatisha ...
Sara akaolewe na Wazee wenzake huko kwao 2
Sasa kwataafifa yake huto weza kumshusha KONDEBOY JESHI wakina DuduBaya na Baba Levo walishindwa 4