MAMBO 8 YA MAFANIKIO YA KUJIFUNZA TOKA KWA
DR. JOHN POMBE MAGUFULI
1. FANYA KAZI YAKO KATIKA UBORA WA HALI YA JUU
2. KUWA NA MISIMAMO NA KUAMINI UNACHOKIFANYA
3. FANYA KAZI KUVUKA MATARAJIO YA WATU
4. ZUNGUKWA NA WATU SAHIHI
4. FANYA KAZI KWA KUANGALIA MIAKA YA BAADAYE (LONGTERM GOALS)
5. USITOSHEKE NA MAFANIKIO ULIYONAYO
6. PENDA KAZI YAKO
7. KUWA NA MAONO YA MBALI
8. KAMWE USIKATE TAMAA
.
Imeandikwa na Said Kasege - 0766862579
Imesomwa na kutengenezwa na Ezden Jumanne - 0759191076
#Jifunze #Kwa #Magufuli
@alexandermluge78863 years agoAsante sana ezden jumanne kwa maarifa ya bure. 1
@
@yahyashaaban18813 years agoShukran kaka ezden kwa somo zuri la kutia faraja. 1
@
@goldprocessplant58933 years agoNilitegemea hichi kitu kutoka kwa motivate speaker ahsante sana kaka ezden.
@
@dynam14883 years agoNashukuru sana kaka ujumbe nzurikitu kikubwa sana, allah akujalie afya njema.
@
@khadijasaidi9113 years agoAsante bro ezden jumanne kwa makara hii.
@
@khadijakhamis56043 years agoMimi unanipa nguvu kubwa saana ninapo sikiliza voice zako mungu akubaliki hiyo ni sadaka kubwa saana kuliko mtu kumpa pesa ni nzuri kumpa marifa, baraka llahu fikum.
@
@mwashighadijames30183 years agoMafunzo mazuri naendelea kujifunxa na kubadilika kila kuchao, thanks.
@
@husnatanzanian91552 years agoAl hakam kumbukumbu mwaka wakwaza kufanya kazi inje ya nchi yangu ya tanzania 10 2015 nakumbukumbu ya kifo chake 17 3 2021 mwenzimngu amulaze mahali pema mpeponi amini 10 2015. 1
@
@khadijakhamis56043 years agoKatka watu wanajuwa kufundisha mwalim mzuri ni ezedn jumanne mwenyezi mungu akuzidishie ujasili na elim zaidi wewe una kipaji ni mwana psychology mzuri saana uko vizuri saana.
@
@hajihemedi51893 years agoStay blessed my brother for nice makara. 1
@
@hassanovajunior69723 years agoHe was a true patriot and strong leader rest in paradise jpm. 1
@
@lotionetv28333 years agoEzden. Ahsante kwa hamasa hii hasa ndani ya mifano hai. Tutaendelea kujifunza umu vizazi na vizazi. Historia ndio hii sasa. Amani kwako kaka.
@
@sharonyclement94572 years agoMuandishi umetisha kingine alisemaga maendeleo hayana miujiza nakubali sana muandishi umetisha.
@
@mwakalukwafredy37203 years agoNina kushukuru sana kaka yangu edzen jumanne kwa maarifa haya makubwa hakika umepanda mbegu kwangu leo. 2
@
@maikojoseph11153 years agoKweli alikuwa jembe wetu hakika nitamukumbuka daima.
@
@samohazakwani68993 years agoAssalaam alaykum. Salaam za pole kwa watanzania wote. Shkrn sana kwa somo zuri sana. Ni mfano mzuri wa kuiga. Mi nimependa neno lake muhimu alikuwa akilipenda mungu mbele" au tumuweke mungu mbele. hakika hili ndio ufunguo wa mafanikio kwa kila jambo, pamoja na jitihada na kumdhania mola mazuri ya kuwa mola ataniwezesha nashkrn brother. ...Expand
@
@asmovctv8657last yearTunashukuru gavana wa jimbo kwa kujali jambo tulilo muomba kupitiya sauti ya wanyonge kwakujibu mambo, ya barabara nakutiya tracteur ndani ya barabara hilli, kwa pamoja masisi ita pata utetezai wake nakufikiya maendeleo.
@
@alphoncemahinyila8043last yearFanya kazi katika ubira wa hali ya juu sana kuwa namsimamomo na kuamini unachokifanya fuka matalajio ya watu wale wano kutazama unaku id="hidden6"wa, unstoppable kushitikiza na ufatikia mwanzo hadi umaauti unapo kujia zungukwa na watu sahihi leta watu wengine long team goals . ...Expand
@
@samohazakwani68993 years agoAssalaam alaykum. Salaam za pole kwa watanzania wote. Shkrn sana kwa somo zuri sana. Ni mfano mzuri wa kuiga. Mi nimependa neno lake muhimu alikuwa akilipenda mungu mbele" au tumuweke mungu mbele. hakika hili ndio ufunguo wa mafanikio kwa kila jambo, pamoja na jitihada na kumdhania mola mazuri ya kuwa mola ataniwezesha nashkrn brother. ...Expand
@
@alphoncemahinyila8043last yearFanya kazi katika ubira wa hali ya juu sana kuwa namsimamomo na kuamini unachokifanya fuka matalajio ya watu wale wano kutazama unaku id="hidden12"wa, unstoppable kushitikiza na ufatikia mwanzo hadi umaauti unapo kujia zungukwa na watu sahihi leta watu wengine long team goals . ...Expand
Related videos for NJIA 9 ZA MAFANIKIO TOKA KWA MAGUFULI:
au tumuweke mungu mbele.
hakika hili ndio ufunguo wa mafanikio kwa kila jambo, pamoja na jitihada na kumdhania mola mazuri ya kuwa mola ataniwezesha nashkrn brother. ...Expand
kuwa namsimamomo na kuamini unachokifanya
fuka matalajio ya watu wale wano kutazama unaku id="hidden6"wa, unstoppable kushitikiza na ufatikia mwanzo hadi umaauti unapo kujia
zungukwa na watu sahihi
leta watu wengine
long team goals
. ...Expand
au tumuweke mungu mbele.
hakika hili ndio ufunguo wa mafanikio kwa kila jambo, pamoja na jitihada na kumdhania mola mazuri ya kuwa mola ataniwezesha nashkrn brother. ...Expand
kuwa namsimamomo na kuamini unachokifanya
fuka matalajio ya watu wale wano kutazama unaku id="hidden12"wa, unstoppable kushitikiza na ufatikia mwanzo hadi umaauti unapo kujia
zungukwa na watu sahihi
leta watu wengine
long team goals
. ...Expand