Duration 24:8

MANENO YA KIKWETE kwa YANGA ''MANJI ALITAKA KUKODISHIWA TIMU''

33 466 watched
0
160
Published 1 Jun 2020

UONGOZI wa Klabu ya Yanga wakishirikiana na wadhamini wao Kampuni ya GSM jana wameingia mkataba wa misimu minne wa makubaliano ya kimaendeleo ya timu hiyo na kampuni La Liga ambao utagharimu kiasi cha euro 1,040,000, sawa na shilingi bilioni 2.6 za Kitanzania. Makubaliano ya kuingia mkataba huo yalifi kiwa jana kwenye hoteli ya Serena jijini Dar ambayo yatahusisha maendelo ya mchezo wa soka nchini kupitia La Liga ambayo yanahusisha masuala ya ufundi na vifaa mbalimbali. Maelezo ya mkataba huo ulio na vipengele vinne, vinaitaka Yanga na GSM kuilipa La Liga fedha hizo katika awamu nne tofauti kuanzia msimu wa 2019-20 hadi msimu wa 2022-23. VIDEO CREDIT KUTOKA YANGA TV WATEMBELEE HAPA https://bit.ly/2Bmq8l9 Subscribes:/c/KidaniStars HABARI MPYA DAILY:https://bit.ly/3c3bEDc HABARI ZA MICHEZO: https://bit.ly/2TAgnWx HABARIZA WASANII: https://bit.ly/2X2f84R HABARI ZA SIASA: https://bit.ly/36r0xCW Instagram: https://www.instagram.com/kidanistars Facebook: https://www.instagram.com/kidanistars Twitter: https://twitter.com/Kidanistars Subscribes:/c/KidaniStars

Category

Show more

Comments - 22